Mdau wa Habari Mhe Farouk Karimu akijivinjari kujisomea habari kutoka katika gazeti la Zanzibar Leo, akiwa katika duka lake la Masomo Bookshop, Empire. Akitaka kujuwa habari mbalimbali zinazotokea katika usiku wa jana na ulimwenguni kote kupitia magazeti.
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
3 hours ago
1 Comments
Mara nyingi naona unamwita Farouk Karim kama mdau wa habari. Jee huyu ni mwandishi wa habari aliesomea au ni mtu mfuatiliaji wa habari?
ReplyDeleteShukran.