Tawi la mtii likiwa katika moja ya nguzo ya umeme likiwa limezongwa na waya kwa muda mrefu sasa bila ya kuondoshwa na linatishia watembea kwa miguu wanaopita katika barabara hiyo ya jirani hospitali ya Muembeladu. wahusika bado kuchukuwa hatua za kuliondosha wakati umeme ukitumika.
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
11 hours ago
0 Comments