Mwananchi Juma Mcha wa Matemwe akizungumza na Waandishi wa habari nje ya Ofisi hizo jinsi hali ya ucheleweshaji wa ckupatikana kwa vyeti vya kuzaliwa na huchukuwa muda mrefu hadi kupata cheti hicho na kusema yeye toka mwaka jana bado hakupata cheti cha mtoto wake.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI
MKOANI MOROGORO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akisafiri kwa Treni ya Kisasa ya Umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam
kue...
5 hours ago
0 Comments