Kwa niaba ya wana-Diaspora wote nchini
Canada, Kamati Tendaji ya Zanzibar – Canadian Diaspora
Association
(ZACADIA)
inachukuwa fursa hii kutoa salamu za hongera kwa Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi na Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein kwa agizo alilolitoa la
kununuliwa meli kubwa mpya ya abiria wapatao 1000 na yenye uwezo wa kuchukua
mizigo ya tani 100 ambayo itawaondoshea shida na usumbufu wa usafiri wa
baharini wananchi wanaosafiri kati ya Unguja, Pemba na Tanzania Bara.
MWANAMKE MMOJA AFARIKI DUNIA AJALI YA ROLI MBEZI KWA MSUGULI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya gari aina ya roli lenye namba ya
usajili T696 CLY kuacha njia na kumgonga mwanamke ...
9 hours ago
0 Comments