Kwa niaba ya wana-Diaspora wote nchini
Canada, Kamati Tendaji ya Zanzibar – Canadian Diaspora
Association
(ZACADIA)
inachukuwa fursa hii kutoa salamu za hongera kwa Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi na Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein kwa agizo alilolitoa la
kununuliwa meli kubwa mpya ya abiria wapatao 1000 na yenye uwezo wa kuchukua
mizigo ya tani 100 ambayo itawaondoshea shida na usumbufu wa usafiri wa
baharini wananchi wanaosafiri kati ya Unguja, Pemba na Tanzania Bara.
SOUWASA YAADHIMISHA WIKI YA MAJI KWA KUPANDA MITI 500 LUHIRA.
-
Maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani yameendelea kupewa uzito mkubwa Mjini
Songea, ambapo jamii imehamasishwa kushiriki kikamilifu katika uhifadhi wa
rasili...
3 minutes ago
0 Comments