Baadhi ya Wachezaji wa Timu ya Yanga wakiwa katika Boti ya Kilimanjaro wakirudi Mjini Dar-es-Salaam, baada ya kuondolewa katika michuano hiyo kukiuka makubaliyao na Chama cha Mpira Zanzibar kwa kuleta timu ya Kikosi cha Pili baada ya cha kwanza, ilibidi kurudishwa nyumbani baada ya kuchezo mmoja na timu ya Jamuhuri uliofanyika jana usiku uwanja wa Amaan, na timu hiyo kufungwa 3-2.
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
2 hours ago
0 Comments