Baadhi ya Wachezaji wa Timu ya Yanga wakiwa katika Boti ya Kilimanjaro wakirudi Mjini Dar-es-Salaam, baada ya kuondolewa katika michuano hiyo kukiuka makubaliyao na Chama cha Mpira Zanzibar kwa kuleta timu ya Kikosi cha Pili baada ya cha kwanza, ilibidi kurudishwa nyumbani baada ya kuchezo mmoja na timu ya Jamuhuri uliofanyika jana usiku uwanja wa Amaan, na timu hiyo kufungwa 3-2.
WIZARA YA AFYA YASIKITISHWA NA WANAOTAPELI KWA JINA LA MCHENGERWA
-
WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu
ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary
Mchengerwa ku...
8 hours ago
0 Comments