Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Nassor Salim Jazira akimkabidhi shilingi 2,500,000/= Kiongozi wa Timu ya Mkoa wa Mjini Magharibi inayoshiriki michuano ya Afrika Mashariki kwa timu za Vijana wa U-17, makabidhiano hayo yamefanyika katika moja ya Kumbi za Baraza la Wawakilishi Chukwani.
WIZARA YA AFYA YASIKITISHWA NA WANAOTAPELI KWA JINA LA MCHENGERWA
-
WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu
ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary
Mchengerwa ku...
10 hours ago
0 Comments