Wananchi wa Wilaya ya Micheweni Pemba wakiitikia Wito wa Serekali kutunza Mazingira ya Maeneo yao wakipanda miti ya aina ya mikoko ili kutunza mazingira ya eneo hilo ili kurusuru ardi hiyo kukumbwa na mmomonyoko wa ardhi katika eneo hilo.
Watu 600 kushiriki semina ya AAT Moro
-
Na MWANDISHI WETU
ZAIDI ya washiriki 600 kutoka ndani na nje ya nchi wanataraji kushiriki
semina maalumu ya uendeleaji na upangaji wa miji inayo kua.
Semi...
4 hours ago
0 Comments