Warembo wanaotarajia kupanda jukwaani kuwania
Taji la Miss Vyuo Vikuu 2012, siku ya Ijumaa wiki hii katika Ukumbi wa Maisha
Club, wakipozi kwa picha ya pamoja nje ya Ukumbi wa Bunge, wakati warembo hao
walipofika kutembelea na kujifunza shughuli za Bunge mjini Dodoma Leo, Julai
03, 2012.
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
3 hours ago


0 Comments