Wajasiraiamali wanawake wa Wilaya ya
Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakimsikiliza mtoa mada Ali Haji Hamad
hayupo pichani, kwenye mafunzo ya siku mbili ya matumizi ya vyombo vya habari,
yaliofanyika jana huko Skuli ya sekondari ya Wingwi, ambayo yameandaliwa na
Mradi wa Ujasiriamali na Maisha na kuratibiwa na TAMWA (picha na Haji Nassor, Pemba )
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
11 hours ago
0 Comments