Wadau wa habari wa vyombo mbalimbali wakiwa katika harakati za kupata picha bora ili kuvutia katika magazeti na TV, wakiwa katika moja ya mmkutano wa hadhara katika vibanda maiti wakati Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Shein akihutubia wananchi.
STAMICO YAGUSA MIOYO YA WATOTO YATIMA, YATOA MSAADA KUELEKEA SIKUKUU YA IDD
-
Katika kuendeleza dhamira ya uwajibikaji kwa jamii, Shirika la Madini la
Taifa (STAMICO) limetembelea Kituo cha Watoto Yatima cha Umra Orphanage
jijini Dar...
2 hours ago
0 Comments