Wakala wa kusambaza magazeti katika Kisiwa cha Zanzibar akikabidhi magazeti kwa wauzaji wadogo wadogo wa bidhaa hiyo baada ya kuwasili katika bandari ya Zanzibar yakitokea Dar-es- Salaam, kwa ajili ya kusambaza kwa Wananchi kupata habari mbalimbali kupitia magazetini, kama nilivyowakuta wakati nikiwa katika rovingi za mitaani leo asubuhi wakiwa katika eneo la Old Dispensary Malindi.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI
MKOANI MOROGORO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akisafiri kwa Treni ya Kisasa ya Umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam
kue...
12 hours ago
0 Comments