Mdau hayo mambo ya mzigo kupakia bila kiasi na uwezo wa chombo, ndivyo ilivyowakuta wajamaa hawa wakizowa mchanga waliokuwa wamepakia katika rukwama lao na kuupakia tena, ili kuendelea na safari yao wakiwa katika mitaa ya mjimkongwe mkunazini Unguja..
SERIKALI MKOA WA KAGERA KUENDELEA KUIUNGA MKONO TAAWANU KUWASAIDIA MAYATIMA
-
Serikali kupitia Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Yahaya Ramadhani Kido,
imesema itaendelea kuiunga mkono Taasisi ya Taawanu katika juhudi zake za
kuwajali...
33 seconds ago
0 Comments