Mdau hayo mambo ya mzigo kupakia bila kiasi na uwezo wa chombo, ndivyo ilivyowakuta wajamaa hawa wakizowa mchanga waliokuwa wamepakia katika rukwama lao na kuupakia tena, ili kuendelea na safari yao wakiwa katika mitaa ya mjimkongwe mkunazini Unguja..
DC SUMAYE AIPONGEZA TFS KUANDAA MAGAMBA WALKATHON
-
Na Oscar Assenga, LUSHOTO.
MKUU wa wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga Zephania Sumaye ameipongeza Hifadhi
ya Mazingira Asili ya Magamba wilayani Lushoto ...
31 minutes ago
0 Comments