Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,
Dk. Edmund Mvungi (katikati) akizungumza na Viongozi wa Shirikisho la
Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) waliofika katika Ofisiza Makao Makuu yaTume Jijini
Dar es Salaam leo (Jumatano, Januari 9, 2013) kuwasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya. Kulia ni Mjumbe wa Tume,
Bi. Maria Kashonda na katikati ni Katibu Mkuu wa TUCTA, Bw. Nicholus Mgaya.
SERIKALI INABORESHA MIUNDOMBINU ILI MTOTO WA KITANZANIA APATE HAKI YAKE YA
MSINGI YA ELIMU BORA - PROF. SHEMDOE
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe
amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inaendelea
kusimamia ub...
5 hours ago
0 Comments