Wahitimu wa chuo cha Modern Tailoring Academy cha Magomeni wakionyesha mitindo ya nguo walizoshona wao wenyewe. Vijana hawa wamepiga picha ya pamoja wakiwa hapo skuli ya Haile Selasie.
WAKALA WA VIPIMO WABAINI UDANGANYIFU WA MIZANI MABUCHANI TEMEKE NA KIGAMBONI
-
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Temeke umebaini vitendo vya udanganyifu
katika baadhi ya mabucha yanayouza nyama, baada ya kufanya operesheni
maalum ya...
2 hours ago
0 Comments