Jamaa na ndugu wa Kijina anayetuhumiwa kwa mauaji ya Padri Mushi, wakiwa nje ya jengo la Mahakama Kuu Zanzibar wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kutoka katika mahakama hiyo kusikiliza shauri lillilowasilishwa na Wakali anayemtetea Mtuhumiwa huyu, shauro hilo limeahirishwa mpaka jumatatu ijayo.
DKT. MWIGULU AELEKEA MOROGORO KUFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA TAKUKURU.
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisafiri kwa Treni ya reli ya kiwango
cha kimataifa (SGR) kutoka Dar es Salaam kuelekea Morogoro ambapo
atamwakilisha ...
55 minutes ago
0 Comments