Jamaa na ndugu wa Kijina anayetuhumiwa kwa mauaji ya Padri Mushi, wakiwa nje ya jengo la Mahakama Kuu Zanzibar wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kutoka katika mahakama hiyo kusikiliza shauri lillilowasilishwa na Wakali anayemtetea Mtuhumiwa huyu, shauro hilo limeahirishwa mpaka jumatatu ijayo.
Ripoti ya Kerry ya Taste Charts 2026 Yaonesha Ladha za Tangawizi, Ukwaju na
Mango Chilli Kinara Mabadiliko ya Ladha Barani Afrika
-
NAIROBI, KENYA. Kampuni ya Kerry Group, kinara wa kimataifa katika masuala
ya ladha na lishe, imezindua ripoti ya Kenya 2026 Taste Charts, ikionyesha
mab...
6 hours ago
0 Comments