Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania Mhe Yahya bin Moussa al Bakari ofisini kwake Ikulu jijini Dar es salaam leo.Mazungumzo hayo yalihusu mambo mbalimbali ya ushirikiano baina ya nchi mbili hizi.
FCC YAKUTANA NA MAMLAKA ZA UDHIBITI KISEKTA KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA
USHINDANI DUNIANI
-
📍 Dar es Salaam
Tume ya Ushindani (FCC) imefanya semina kwa Mamlaka za Udhibiti Kisekta
kujadiliana juu ya masuala ya ushindani kwenye soko.
Akizun...
1 hour ago


0 Comments