Wadau wa mtaa wa Rahaleo wakiwa katika kijiwe wakiwa na majonzi ya kuondokewa na kipenzi chao Bi Kidude, kwa kumpoteza bibi wa mtaa huo alikuwa rafiki wa kila Kijana na Vijana wote katika mtaa huo ni wajukuu zake na wapenzi wake. wakitafakari baada ya kurudi mazikoni.
TRA MOROGORO YATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE KUTOA ELIMU YA KODI
-
NA FARIDA MANGUBE , MOROGORO
Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, mamlaka ya mapatao Tanzania
(TRA) Mkoa wa Morogoro imetumia maadhimisho hayo kut...
4 hours ago
0 Comments