Wadau wa mtaa wa Rahaleo wakiwa katika kijiwe wakiwa na majonzi ya kuondokewa na kipenzi chao Bi Kidude, kwa kumpoteza bibi wa mtaa huo alikuwa rafiki wa kila Kijana na Vijana wote katika mtaa huo ni wajukuu zake na wapenzi wake. wakitafakari baada ya kurudi mazikoni.
NCHI ZA AFRIKA ZAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA KUIMARISHA MATUMIZI BORA YA
NISHATI
-
WAZIRI wa Nishati, Mhe Deogratius Ndejembi ametoa wito kwa Nchi za Afrika
kuungana kwa pamoja katika kutekeleza mikakati na mipango ya kuendeleza
matumizi...
2 minutes ago
0 Comments