Wananchi wa Shehia ya Muembemakumbi wakiwa katika kituo chja kupiga Kura kuwachaguwa Wawakilishi wake kuwawakilisha katika Baraza la Katiba katika Wilaya ya Mjini jumla ya Wajumbe watatu watachaguliwa katika uchaguzi huo.
Wananchi wa Shehia ya Muembemakumbi wakijiandikisha kabla ya kupiga kura kuchagua wajumbe wa Baraza la Katiba
Wananchi wa Shehia ya Muembemakumbi wakisubiri kupiga kura katika kituo hicho kuchagua wajumbe wa baraza la katiba
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
7 minutes ago
0 Comments