Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akimsindikiza Mgeni wake Waziri wa Uingereza anayeshughulikia maswala ya Afrika Mhe Mark Simmonds Ikulu jijini Dar es salaam
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho kikwete akiongea na Mgeni wake Waziri wa Uingereza anayeshughulikia maswala ya Afrika Mhe Mark Simmonds alipofika Ikulu jijini Dar es salaam
Makubaliano Mapya Yafungua Mlango wa Tafiti na Ubunifu Tanzania
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kwa
kushirikiana na Taasisi ya Global Education Link Ltd wamesaini ...
2 hours ago


0 Comments