Ujenzi wa mabanda ya biashara katika viwanja vya sikukuu vikiwa katika maandalizi ya ujenzi wake ili kusherehekea sikukuu ya Eid Fitry leo.Waislam Duniani kote leo husherehekea sikukuu ya Eid Fitry baada ya mfungo wa Mwezi Mtuku wa Ramadhani kumalizika jana kwa kukamilisha mfungo huo kwa kumaliza siku salathini.
Mradi wa PACSMAC Wabainisha Suluhisho la Changamoto za Tabianchi kwenye zao
la Kahawa
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Serikali imejipanga kuwezesha upatikanaji wa maji kwa ajili ya kilimo cha
umwagiliaji katika zao la kahawa, kwa lengo la ku...
2 hours ago
0 Comments