Tangazo likiwa limewekwa katika moja ya daka katika marikiti ya darajani kukataza kuegesha vyombo vya moto na kufanya biashara mbele ya duka hilo linalojishughulisha na biashara ya kuuza vitu vya mapishi vya viungo mbalimbali,eneo limekuwa likifanya ni maegesho na wafanyabiashara kupanga bidhaa zao ili kupata wateja na kuweka kiwingu katika duka hilo na kuwa usumbufu kwa wateja wake wanaofika dukani hapo kupata mahitaji yao.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AWASILI MKOANI KAGERA LEO KUWEKA JIWE MSINGI
UJENZI WA KAMPASI YA UDSM
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera leo tarehe
14 D...
1 hour ago
1 Comments
Hili baraza la mji lino ongzwa na vipofu wakulima na wakwezi, wao na muaomsha akilizao sawa, aljunu funu, tutafika tuendako
ReplyDelete