Diamond akizungumza na waandishi alipowasili jioni hii Zenj akitokea Uhaibuni kuonesha shoo yake na kutua Zenj akishindikizwa na Mkali Ney Wamitego.
Ney Wamitego akizungumza na Waandishi kuhusiana na shoo hiyo na Diamond leo katika ukumbi wa mesi ya Polisi
Diamond akijibu maswali ya Waandishi katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Resort kuhusiana na Nyimbo yakevMpya ya Muziki Gani ndani ya Ukumbi wa Mess ya Polisi Ziwanin leo Usiku
1 Comments
Ndugu, Mapara, sisi wadauu unatu nyima raha yakutembelea huu mtandao, kuzibania, comment, bila ya sababu, ya msingi, kwanza, unajua hii, zanzinews, nimtandao, hunotoa, habari kwa ufasaha, lakini, chachu inakosekana, sisi tunatuma comment, ilikupimana uwezo wakufikri, kama ukiiona, inamatusi, wajib kuifuta, lakini yenye mawzo kinzani, bora uiwache, tulpatakazi, kuwasha wishi, wadau wenzetu, kutemmbela, huumtandao, sasa, bora, utusajili, kwa poswadi, il akikuka maadili, umuonye,
ReplyDelete