Mdau huu ni mtaa maarufu katika mji wa Zenj kwa watalii na Wazanzibar kwa mandhari yake wakati wa mchana na usiku unavyovutia wakazi wa mji huo wakiwemo Watalii wanaofika katika Zanzibar kutembelea maeneo ya historia ya Zanzibar, Wageni wengi wanaofika kutembelea Zenj hufika katika maeneo ya Mji Mkongwe, kujionea Vivutio vilioko katika maeneo hayo. Hapa ni shangani kuelekea Posta na Vuga Makamani.
WMA YATOA ELIMU YA VIPIMO KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI YA DKT. SAMIA DODOMA
-
Na Mwandishi Wetu Wetu - DODOMA
Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) imetoa mafunzo ya vipimo kwa wanafunzi wa
Dr. Samia Dodoma Secondary School, ikiwa ni s...
49 minutes ago
0 Comments