Harakati za mwishomwisho kwa ajili ya maandalizi ya Sikukuu ya Eid Al Hajj inayotarajiwa kufanyika kesho katika Visiwa vya Marashi ya Karafuu Zenj wananchi wakiwa katika harakati hizo katika mitaa ya mchangani kutafuta mahitaji ya nguo kwa ajili ya watoto wao, ili kuweza kuungana na Waislamu Duniani kusherehekea sikukuu hiyo.
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyik...
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
0 Comments