Wananchi wakiliondoa gari la abiria lenye namba za usajili Z469 BZ, baada ya kupanda kidaraja cha kugawa njia ya kuingilia na kutokea katika barabara inayoelekea mkunazini mnadani. kama inavyoonekana picha wananchi wakiwa katika jitihada za kuiondoa katika kidaraja hicho.e
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
2 hours ago
0 Comments