Michukuano ya kusherehekea maadhimishi ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mchezo wa Nage inayowashirikisha Vijana wa Majimbo ya Wilaya ya Mjini yamekuwa kivutio kwa wapenzi wa mchezo huo wakifuatilia mchezo kati ya Jimbo la Rahaleo na Kikwajuni mchezo uliofanyika katika kiwanja cha Komba Wapya Kijangwani. Timu ya Rahaleo imeshinda katika mchezo huo.
VIJANA 5,746 WACHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UANAGENZI
-
Na: OWM (KAM) – Dodoma
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano imetangaza
vijana 5,746 kujiunga na mafunzo ya uanagenzi ambayo yat...
11 minutes ago
0 Comments