Haya yakujaa maji mabarabarani yasingekuwepo kama Serikali ya Dr Sheni ingefanyakazi kwakufuata Sera ambazo zingeboresha Ustawi wa Jamii na Miundo Mbinu.
Miji ya Unguja na Pemba haina ukubwa wakushindwa kuwekwa Seawage system za kileo. Isipokua pesa Inatafunwa na Manispaa. Pamoja na Serikali ya UVCCM.
Hivi sasa kuna Sherehe za Mapinduzi na mabilioni ya fedha zitaingizwa kwenye Matumbo ya Wahafidhina au UVCCM. Barabara hizo zimejaa maji aibu tupu
Michezo : New King Imeichapa Malindi Bao 2-1
-
Mchezaji wa Timu ya Malindi akimiliki mpira akijiandaa kumpita beki wa Timu
ya New King, katika mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2-25 /2026 mchezo
uliyo...
1 Comments
Haya yakujaa maji mabarabarani yasingekuwepo kama Serikali ya Dr Sheni ingefanyakazi kwakufuata Sera ambazo zingeboresha Ustawi wa Jamii na Miundo Mbinu.
ReplyDeleteMiji ya Unguja na Pemba haina ukubwa wakushindwa kuwekwa Seawage system za kileo. Isipokua pesa Inatafunwa na Manispaa. Pamoja na Serikali ya UVCCM.
Hivi sasa kuna Sherehe za Mapinduzi na mabilioni ya fedha zitaingizwa kwenye Matumbo ya Wahafidhina au UVCCM. Barabara hizo zimejaa maji aibu tupu