Askari wa barabarani wakiwa katika zoezi la ukaguzi wa vyombo vya moto katika maeneo mbalimbali ya mji wa Zanzibar kudhibiti uhalali wa vyombo hivyo kupata ruhusa ya kutembea barabarani baada ya kupasishwa na kuwa na bima.
TANZANIA, INDIA ZASAINI MAKUBALIANO YA KUENDELEZA TIBA ASILI, WHO YAPONGEZA
-
Na WAF – New Delhi
Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) juu ya
ushirikiano kwenye Sekta ya Afya ili kuendeleza tiba asilia ...
2 hours ago
0 Comments