Muumini Dini ya Kiislam Zanzibar Shekh.
Maulid Nassor Suleiman, kutoka Pandani Pemba akiwa katika viwanja vya Ijitimai Fuoni akiwa na Ujumbe wake unaotowa mafunzo kwa Waumini wa Dini ya Kiislam kama
unavyosomeka na kutowa elimu hiyo kwa waumini waliofika Ijitimai.
STANDARD CHARTERED TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA
MCHANGO NA ELIMU YA FEDHA KATIKA HOSPITALI YA CCBRT
-
Dar es Salaam, Tanzania – 13 Machi 2026 – Katika kuadhimisha Siku ya
Wanawake Duniani, Standard Chartered Tanzania imetembelea Hospitali ya
CCBRT na kutoa ...
4 minutes ago
0 Comments