Wananchi wa Mji wa Zanzibar wakiwa katika harakati za mahitaji ya manunuzi ya Futari katika Soko Kuu la Mwanakwerekwe Ubguja. Bei za bidhaa katika soko hilo zilikuwa juu katika siku ya leo nazi moja katika Soko la Jumla imeuzwa kwa shilingi 700/= fungu la mihogo liliuzwa katiki ya shilingi 1000/= Boga Shs 2500/= , ndizi ya Mkono mmoja iliulwa kati ya shilingi 1000/= na 2500/= kwa dole moja
SERIKALI YAOMBWA KUTAZAMA UPYA GHARAMA ZA USAJILI NA KODI KWA ONLINE MEDIA
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hilo l...
53 minutes ago
0 Comments