Chama cha Wanasheria Zanzibar kitafanya Mkutano na Waandishi wa Habari leo tarehe 27-08-2014 saa nne asubuhi katika Ukumbi wa Watu wenye Ulemavu uliopo Wailes, Zanzibar kuzungumzia kadhia ya Wazanzibari wanaokamatwa, kusafirishwa na kufunguliwa kesi nje ya Zanzibar na mambo mengineyo yaliyojitokeza kuhusiana na kadhia hii.
DIWANI KALANGALALA AGUSA NYOYO ZA WAFUNGWA GEREZA LA GEITA
-
Diwani wa kata ya Kalangalala Ruben Sagayika amewashika mkono wafungwa
katika Gereza la wilaya ya Ya Geita kuelekea sikukuu ya mwaka mpya.
Sagayika ameto...
23 minutes ago
0 Comments