Mchezaji wa timu ya Basketyi ya Burundi akiwa na mpira wakati swa mchezo wao wa kukamilisha ratiba ya Michezo ya 8 ya Majeshi wa Afrika mashariki yanayofanyika Zanzibar. timu ya Burundi imeshinda 60--52.
WASTAAFU WA TRA WAHIMIZA ULIPAJI KODI, WAKIIMARISHA UMOJA WAO
-
Harry Kitilya Kamshna Mstaafu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),
akizungumza na waandishi wa habari katika sherehe ya wastaafu wa TRA
iliyofanyika jiji...
28 minutes ago
0 Comments