MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe: Hanuna Ibarahim Masoud, akizungumza na viongozi wa vyama vya siasa kisiwani Pemba,huko ofisini kwakwe chake chake, ikiwa ni kikao cha kwanza kwa viongozi hao kukutana nao tokea alipoteuliwa na Rais wa Zanzibar mwezi uliopita.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
SHULE ZOTE ZA SERIKALI KUFIKIWA NA VITABU KABLA HAZIJAFUNGULIWA
-
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt. Aneth Komba
amesema, TET imejipanga kuhakikisha shule zote za Serikali zinafikiwa na
vitabu kabla h...
1 hour ago


0 Comments