6/recent/ticker-posts

Mdhibiti na Mkugauzi Mkuu wa Hesabu za Serekali Tanzania Akutana na Rais Shein.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania Ludovick  Utoh alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na  Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania Ludovick  Utoh alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi baada ya mazungumzo yao,[Picha na Ikulu.]

Post a Comment

0 Comments