Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi Boti na Mashine Bw.Shamte Hamadi Juma wa Kijiji cha Maziwa Ng'ombe Wilaya ya Micheweni kwa niaba ya kikundi cha Wavuvi Kheri Moyo Mmoja Pemba hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jana kijijini hapo,[Picha na Ikulu.]
VIJANA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA RAIS SAMIA, WATAJA FAIDA ZA UONGOZI
WAKE KWA MAENDELEO YA TAIFA
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv
VIJANA nchini wameungana kuadhimisha Siku ya Kumbukizi ya kuzaliwa Rais
Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakisema kuwa ni kiongozi m...
1 hour ago

0 Comments