Jengo la Kisasa kwa ajili ya kushughulikia kesi za Udhalilishaji wa Wanawake kijinsia na Watoto, katika Mkoa wa Kaskazini Unguja hushughulikia kesi hizo zinazoripotiwa Polisi katika Kituo cha Polisi cha Mahonda na kufikishwa katika Dawati kwa uchunguzi na kufikishwa Mahakamani kwa kuchukuliwa Sheria kwa Wahalifu wa suala hilo.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
9 hours ago
0 Comments