Beki wa timu ya Taifa ya Jangombe,Hassan Ishaka akimzuiya mshambuliaji wa timu ya Simba Yussuf Baraka, katika mchezo wa kirafiki wa kumuenzi Rais wa Timu ya Taifa ya Jangombe Marehemu Maulid Hamad, uliofanyika katika uwanja wa Amaan,timu ya Simba imetoka na ushindi wa mabao 3-1.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
2 hours ago
0 Comments