MAFUNDI wa mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA), Tawi la
Pemba wakiwa katika harakati za kutengeneza chemchem ya maji gawani wete,
iliyoingia mchanga hivi karibuni, ili kuweza kurudisha huduma za maji safi na
lama kwa wananchi wa Wilaya ya Wete, iliyosimama kufuatia chemchem hiyo kuingia
mchanga.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
IFM YATAKIWA KUTENGENEZA MASHIRIKIANO NA WADAU SEKTA YA ELIMU KWA MASLAHI
YA TAIFA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Dkt Hatib Kazungu ametoa Rai kwa Uongozi wa
Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM)Tawi la Dodom...
1 hour ago
0 Comments