MAFUNDI wa mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA), Tawi la
Pemba wakiwa katika harakati za kutengeneza chemchem ya maji gawani wete,
iliyoingia mchanga hivi karibuni, ili kuweza kurudisha huduma za maji safi na
lama kwa wananchi wa Wilaya ya Wete, iliyosimama kufuatia chemchem hiyo kuingia
mchanga.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
TANZANIA NA SOMALIA WASAINI MKATABA MASUALA YA KIUHAMIAJI
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya
Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya
kiuhamiaji.
...
9 hours ago
0 Comments