WAZIRI wa Sayansi na Mawasiliano wa Serikali ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe:Profesa Makame Mnyaa Mbarawa katikati
akipiga makofi mara baada ya kuzindua tangi la Maji safi na salama huko Wambaa,
viongozi mbali mbali wa Serikali wakishuhudia, ikiwa ni shamra shamra za miaka
51 ya Mapinduzi.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
WAZIRI wa Sayansi na Mawasiliano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe:Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, akilikagua tangi la maji safi na salama, mara baada ya kulizindua rasmi, kulia ni Naibu katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar Mhe:Mustafa Aboud Jumbe.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa Sayansi na Mawasiliano wa Serikali ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe:Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, akizungumza
na wananchi wa Wambaa Wilaya ya Mkoani mara baada ya kuzindua tangi la maji
kijijini huko.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.
0 Comments