Katibu
Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa Bw.
Henry Riaya (kulia) akisaini Waraka wa
Brighton Declaration kuhusiana na usawa wa kijinsia katika michezo, hafla hiyo
imefanyika jijini Dar es Salaam leo
(jana) kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa
Idara ya Maendeleo ya Michezo Bi. Juliana Yassoda.
.: Mkurugenzi Msaidizi kutoka Idara ya Maendeleo ya Michezo
Bi Juliana Yassoda wa kwanza kushoto akisaini Waraka wa Brighton Declaration kuhusiana na usawa wa
kijinsia katika michezo, hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo (jana).wa kwanza kushoto ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa Bw. Henry Riaya.
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa
Bw. Henry Riaya (kulia) akisisitiza jambo mbele ya wanahabari hawapo pichani
kuhusiana na Waraka wa Brighton
Declaration kuhusiana na usawa wa kijinsia katika michezo
: Baadhi
ya wanahabari wakimsikiliza Katibu Mtendaji
wa Baraza la Michezo la Taifa Bw. Henry Riaya hayupo pichani akizungumza
na wanahabari hawapo pichani katika hafla ya kusaini Waraka wa Brighton Declaration kuhusiana na usawa wa
kijinsia katika michezo.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. (jana.)
Picha
zote na Benjamin Sawe -WHVUM
0 Comments