WAFANYAKAZI wa Kampuni ya MECCO inayojenga barabara
ya Wete-Gando na Wete-Konde, wakiwa katika harakati za mwisho za kumwaga lami
katika eneo la Hoteli ya Wete, panapounganisha njia mbili hizo kama
wanavyoonekana katika picha.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
TANZANIA NA UTURUKI KUIMARISHA UWEZESHAJI WA VIJANA NA WANAWAKE
-
Na WMJJWM- Uturuki
TANZANIA na Uturuki zimekubaliana kuanzisha makubaliano yatakayowezesha
vijana kutoka Tanzania kunufaika na fursa za mafunzo, uzoefu w...
37 minutes ago
1 Comments
Hiyo Hoteli ya Wete nayo iangaliwe baada ya kukamilika kwa babara! Inatia aibu
ReplyDelete