WAFANYAKAZI wa Kampuni ya MECCO inayojenga barabara
ya Wete-Gando na Wete-Konde, wakiwa katika harakati za mwisho za kumwaga lami
katika eneo la Hoteli ya Wete, panapounganisha njia mbili hizo kama
wanavyoonekana katika picha.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
ORYX GAS YATOA MKONO WA EID KWA WATOTO WANAOLELEWA NEW FARAJA ORPHANAGE
-
Na Mwandishi Wetu
KITUO cha kulea watoto yatima cha New Faraja Orphanage kilichopo Mburahati
jijini Dar es Salaam kimepokea msaada mkubwa wa vyakula mbalim...
1 hour ago
1 Comments
Hiyo Hoteli ya Wete nayo iangaliwe baada ya kukamilika kwa babara! Inatia aibu
ReplyDelete