IMEKUWA
ni jambo la kawaida kwa madereva wa daladala kukiuka sheria ya usalama
barabarani kwa kuegesha daladala katika
eneo siyo salama kwa watumiaji wa barabara hiyo na kuleta usumbufu kwa wakati
wakiwa wameegesha, kama inavyoonekana daladala hizi zikiwa katika eneo la Donge
zikiwa zimeegeshwa kinyume na utaratibu wa sheria za barabara.
Meya Kigamboni awafariji wagonjwa agawa zawadi
-
Na MWANDISHI WETU
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ambaye ni Diwani wa
Kata ya Kibada Mhe. 𝗔𝗺𝗶𝗻𝗶 𝗠𝘇𝘂𝗿𝗶 𝗦𝗮𝗺𝗯𝗼, amefanya ...
2 hours ago
1 Comments
Ni kweli daladala wana kero na maudhi mengi na hata ajali nyingi zinasabsbishwa nao LAKINI na serikali nayo jamani, hivi halo panastahiki kuwa stand kuu magari ya abiria. Utafikiri viongozi wetu hawajafika hata hapo Nairobi tu.
ReplyDelete