IMEKUWA
ni jambo la kawaida kwa madereva wa daladala kukiuka sheria ya usalama
barabarani kwa kuegesha daladala katika
eneo siyo salama kwa watumiaji wa barabara hiyo na kuleta usumbufu kwa wakati
wakiwa wameegesha, kama inavyoonekana daladala hizi zikiwa katika eneo la Donge
zikiwa zimeegeshwa kinyume na utaratibu wa sheria za barabara.
RC CHALAMILA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KUFUATIA KIFO CHA CARDINALI PENGO
-
Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Feb 23,2026 akiwa
ameambatana na kamati ya usalama Mkoa, amesaini kitabu cha maom...
3 hours ago
1 Comments
Ni kweli daladala wana kero na maudhi mengi na hata ajali nyingi zinasabsbishwa nao LAKINI na serikali nayo jamani, hivi halo panastahiki kuwa stand kuu magari ya abiria. Utafikiri viongozi wetu hawajafika hata hapo Nairobi tu.
ReplyDelete