Maafisa Waandamizi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja nchini China wanakohudhuria mafunzo ya muda mfupi ya maendeleo ya mafuta na gesi asilia. (Picha na Juma Mohammed, MAELEZO Beijing)
Mkurugenzi wa Mipango na Sera na Utafiti Wizara ya Ardhi, Makaazi Maji ujenzi na Nishati, Salhina Mwita Ameir akieleza jambo wakati wa mafunzo ya mafuta na gesi asilia katika Chuo cha Biashara za Kimataifa Beijing China. Wanaomtazama kutoka kushoto ni Mhandisi Mwalimu Ali Mwalimu na Farhat Ali Mbarouk.(Picha na Juma Mohammed, MAELEZO China)
Makubaliano Mapya Yafungua Mlango wa Tafiti na Ubunifu Tanzania
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kwa
kushirikiana na Taasisi ya Global Education Link Ltd wamesaini ...
24 minutes ago
.jpg)
0 Comments