Muonekano wa jumba la Trein Darajani wakati wa asubuhi kabla ya kuanza kwa harakati za Wajasiriamali wanaofanya biashara zao katika eneo hilo la mbele ya jengo hilo. Hivi karibuni ilitolewa maagizo kuhama kwa wakazi wa nyumba hiyo ili kupisha matengenezo kutokana na jengo hilo kuchoka likiwa la siku nyingi.
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
6 hours ago
0 Comments