Muonekano wa jumba la Trein Darajani wakati wa asubuhi kabla ya kuanza kwa harakati za Wajasiriamali wanaofanya biashara zao katika eneo hilo la mbele ya jengo hilo. Hivi karibuni ilitolewa maagizo kuhama kwa wakazi wa nyumba hiyo ili kupisha matengenezo kutokana na jengo hilo kuchoka likiwa la siku nyingi.
Utalii : Ngorongoro ni Kapu Lililobeba Matunda Matamu, Sasa Tunayauza.
-
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania Ephraim Balozi Mafuru kwa niaba ya
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii ameongoza timu ya wizara hiyo
kwenye ...
52 minutes ago
0 Comments