Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani Mhe Ali Salum akimkabidhi Kikombe Mwenyekiti wa Kamati ya Ligi za Watoto Zanzibar Ndg Madungu kwa ajili ya Washindi wa michezo hiyo inayomalizika kesho na kukabidhgiwa zawadi mabingwa wa Ligi za Watoto Zanzibar Mhe Ali Salum alikabidhi Vikombe viwili na Fedha taslim shilingi milioni 1,200,000/ kwa washindi.
NINA IMANI KUBWA NA UTENDAJI KAZI WA OFISI YA MWANDISHI MKUU WA
SHERIA-MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari amewataka Watumishi wa
Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria kufanya kazi kwa Weledi na Ufanisi ili
kufiki...
6 hours ago
0 Comments