Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani Mhe Ali Salum akimkabidhi Kikombe Mwenyekiti wa Kamati ya Ligi za Watoto Zanzibar Ndg Madungu kwa ajili ya Washindi wa michezo hiyo inayomalizika kesho na kukabidhgiwa zawadi mabingwa wa Ligi za Watoto Zanzibar Mhe Ali Salum alikabidhi Vikombe viwili na Fedha taslim shilingi milioni 1,200,000/ kwa washindi.
SANGU: BODI YA WADHAMINI WCF KUTEKELEZA DIRA 2050
-
Na. OWM-KAM – Dodoma
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka
mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maende...
4 hours ago
0 Comments