Lakini Bingwa hii katiba imejadiliwa na kupitishwa na CCM watupu kule kwenye bunge la katiba dodoma. Sasa vyereje leo Bingwa hii katiba iwe ya Watanzania wote? Wewe Bingwa si useme tu kama wewe ni CCM usitudanganye!
1 Comments
Lakini Bingwa hii katiba imejadiliwa na kupitishwa na CCM watupu kule kwenye bunge la katiba dodoma. Sasa vyereje leo Bingwa hii katiba iwe ya Watanzania wote? Wewe Bingwa si useme tu kama wewe ni CCM usitudanganye!
ReplyDelete