6/recent/ticker-posts

Wanafunzi wa IT watembelea Ofisi za Zanzibarleo Pemba

MKUU wa shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar, ofisi ya Pemba, Bakari Mussa Juma akiwafahamisha wanafunzi wa fani ya IT waliotembelea ofisi ya Gazeti la Zanzibarleo Pemba, jinsi ya kutafuta habari mbali mbali kwa kutumia simu za kisasa za Mkononi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

Post a Comment

0 Comments