MAAFISA wa saidizi wa Uwandikishaji wa Daftari la
kudumu la wapiga kura la Taifa NEC kisiwani Pemba, wakimsikiliza kwa makini
Katibu Tawala Mkoa wa Kusini Pemba, Ahmed Khalid hayupo pichani wakati
alipokuwa akifungua mafuzo ya siku mbili kwa maafisa hao, huko katika Ukumbi wa
Skuli ya Madungu Sekondari kisiwani Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KATIBU tawala Mkoa wa kusini Pemba Ahmed Khalid
akifungua mafunzo ya siku mbili, kwa maafisa wasaidizi wa Uandikishaji wa
Daftari la kudumu la wapigakura la Tiafa NEC, huko katika skuli ya madungu
Sekondari Kisiwani Pemba, huku akiwa na watendaji mbali mbali wa Tume hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
AFISA uwandikishaji wa NEC Wilaya ya Chake Chake Kamaria
Nassir Ahmed, akizungumza na maafisa wasaidizi wa Uandikishaji wa Daftari la
kudumu la wapigakura la Taifa NEC, huko katika skuli ya Madungu Sekondari chake
Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
AFISA Tehama msaidizi Sajira Mubaga akiwagawia fomu
za kiapo, maafisa wasaidizi wa Uwandikishaji wa Daftari la kudumu la wapiga
kura la taifa NEC, huko katika skuli ya Madungu Sekondari Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KATIBU tawala Mkoa wa Kusini Pemba Ahmed Khalid
mwenye suti katikati, akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa tume ya
Taifa ya Uchaguzi NEC kutoka Tanzania Bara, pamoja na maafisa wasaidizi
uandikashaji wa Daftari la kudumu la wapigakura la Taifa NEC, huko katika
skuli ya Madungu Sekondari Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
0 Comments