MRATIB wa Jumuiya ya Zanzibar Charitable Society
Zahor Mazrui, akimueleza jambo amiri wa Jumuiya ya Tahfidh Qur-an na Maendeleo
ya Kiislamu Ole Shekh Omar Khamis Kombo wakwanza kushoto, huko katika
mashindano ya Tahafidhi Qur-an Ole.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
SHEIKH Soud Abdalla akisoma risala ya Jumuiya ya
Tahfidh Qur-an na Maendeleo ya Kiislam, wakati wa mashindano ya Jumuiya hiyo
huko Ole Kianga kisiwani Pemba.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
SHEIKH Salim Ameir akitoa nasaha zake kwa wanafunzi
wa Tahfidh Qur-an, huko katika mashindano ya kuhifadhi Qur-an Ole Kianga
kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
MRATIBU wa Jumuiya ya Zanzibar Charitable Society
Zahor Mazrui, akizungumza na wananfunzi na walimu wa Jumuiya ya Tahafidh Qur-an
na Maendeleo ya Kiislam jimbo la Ole, wakati wa mashindano ya kuhifadhi Qur-an
yaliyoandaliwa na jumuiya hiyo Ole kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MRATIB wa Jumuiya ya Zanzibar Charitable Society
Zahor Mazrui, akizungumza na wanafunzi na walimu wa Jumuiya ya Tahafidh
Qur-an na Maendeleo ya Kiislam jimbo la Ole, akiwaonyesha msahafu wanafunzi
waliohifadhi Qur-an, kwa kuwasisitiza kukisoma kitabu hicho Kitukufu wakati wa
mashindano ya kuhifadhi Qur-an yaliyoandaliwa na jumuiya hiyo Ole kisiwani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MRATIB wa Jumuiya ya Zanzibar Charitable Society
Zahor Mazrui, akimkabidhi bahasha yenye fedha taslim mwanafunzi Ahmed Maulid
Salumu kutoka Konde, aliyeibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya Tahfidh
Qur-an kwa upande wa Juzuu moja.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MRATIB wa Jumuiya ya Zanzibar Charitable Society
Zahor Mazrui, akimkabidhi bahasha yenye fedha taslim mwanafunzi Ali Hamad
Mbarouk kutoka Ole, aliyeibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya Tahfidh
Qur-an kwa upande wa Juzuu mbili.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MRATIBU wa Jumuiya ya Zanzibar Charitable Society
Zahor Mazrui, akimkabidhi misahafu Amiri wa Jumuiya ya Tahfidh Qur-an na
Maendeleo ya Waislam jimbo la Ole, Omar Khamis Kombo mara baada ya kumalizika
kwa mashindano ya Tahfidh Qur-an yaliyoandaliwa na Jumuiya hiyo Ole Kisiwani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MRATIBU wa Jumuiya ya Zanzibar Charitable Society
Zahor Mazrui, akimkabidhi Tende amiri wa Jumuiya ya Tahfidh Qur-an na
Maendeleo ya Waislam jimbo la Ole, Omar Khamis Kombo mara baada ya kumalizika
kwa mashindano ya Tahfidh Qur-an yaliyoandaliwa na Jumuiya hiyo Ole Kisiwani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
0 Comments