LICHA ya Serikali kutafuta wafadhili kwa ajili ya
miradi mbali mbali ya maji kwa wananchi, lakini bado mamlaka husika
zinazosimamia masuala ya maji, zinashindwa kuwa makini kutembelea viungio vya
maji laini kubwa, pichani maji yakimwagika katika kiungo cha maji, laini kubwa
huko mjengo wa Banda Wawi chake Chake.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
NGORONGORO YATANGAZA FURSA MPYA KWA WAONGOZA WATALII (THE BIRTH OF WONDERS
PHOTO COMPETITION).
-
Na Kassim Nyaki, Ngorongoro.
Mabadiliko makubwa katika ushirikishwaji wadau wa sekta ya utalii
yameibuliwa na uongozi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro i...
38 minutes ago

0 Comments